Proverbs 4:18-19


18 aNjia ya wenye haki ni kama nuru ya kwanza ya mapambazuko,
ambayo hungʼaa zaidi na zaidi mpaka mchana mkamilifu.
19 bLakini njia ya waovu ni kama giza nene;
hawajui kinachowafanya wajikwae.
Copyright information for SwhNEN